| Mwenzako jicho chongo |
| Kwa mwengine sioni tena |
| Umenipa magongo nitembee |
| Niache kuchechema |
| Tujiepushe na waongo |
| Hawakosagi cha kusema |
| Ulinzi nguzo chuma dongo |
| Penzi tuezeke na mahema |
| Penzi langu la kizigua nakupa taratibu (Aaah eh!) |
| Na miuno nainengua washikwe na aibu |
| Nazani hawajajua wewe ndo unaniharibu (Aaah eh!) |
| Na mwaka huu mbona wataugua wakose wa kuwatibu |
| Wewe nipe mambo ya Pwani eti mwenzako nina nenge |
| Kanga moja begani uno ulifunge tenge |
| Mguu bara mguu Pwani kama unaruka senyenge |
| Wee nibinyie kwa ndani nitoke malenge lenge |
| Saula!!! (Mambo yaweke hadharani) |
| Saula!!! (Kwani unamuogopa nani) |
| Saula!!! (Uyaweke hadharani) |
| Saula!!! (Kwani unamuogopa nani) |
| Kama karata umelamba dume |
| Wengine garasa bado (Saula!!!) |
| Tikitaka kinyume nyume |
| Mashoot kama Ronaldo (Saula!!!) |
| Kaliona Jiti kasaula kajitupa kwa kiwanja |
| Kibichibichi kaa Paula wa Kajala Masanja |
| We nipe nisivyopewa hadi nihisi raha ya dunia |
| Nijione mwenye ngekewa mafisi waje ninunia |
| Nipost usiogope sasa univizie Mobeto |
| Tena mashost na waropokwe tujichimbie magheto |
| Wee nipe mambo ya pwani |
| Eti Mwenzako nna Nnenge |
| Kanga Moja negani uno ulifunge Tenge |
| Siku ya kufa Nyani kinyozi kakosa wembe |
| Kule Mtwara nyumbani tunaitaga Singenge |
| Saula!!! (Mambo yaweke hadharani) |
| Saula!!! (Kwani unamuogopa nani) |
| Saula!!! (Uyaweke hadharani) |
| Saula!!! (Kwani unamuogopa nani) |
| Aaah! kibinda (Aaah kibinda nkoe) |
| Yeeeeeh!!! (Aaah kibinda nkoe) |
| Fanya kujipinda pinda (Aaah kibinda nkoe) |
| Eh Yeeeeeh!!! (Aaah kibinda nkoe) |
| Cheza Ukiringa ringa (Aaah kibinda nkoe) |
| Eeeh! (Aaah kibinda nkoe) |
| Zungusha nyonga madoido (Aaah kibinda nkoe) |
| Kakupa mama (Aaah kibinda nkoe) |
| Uno la Kofi Lomido (Aaah kibinda nkoe) |
| Binua bandama (Aaah kibinda nkoe) |